Machapisho

JICHO NDANI YA QATAR

Picha
 Hawa Ecuador walitoa sare na wababe wa South America , hawa ndio wamefuzu mbele ya Chile ya kina Vidal na Sanchèz.... kiukweli Qatar walikuwa hawana namna nyingine kwa jinsi Ecuador walivyokuwa wanacheza "Total Dominace". Nini kingine Qatar wangefanya zaidi ya hapo? , walikutana na Ecuador ambayo ilikuwa bora kila eneo la uwanja maji marefu kwa Qatar.... Ecuador walikuwa na Back 3 wakati wanashambulia (Wa 3 nyuma then Caicedo anakuwa mbele yao kutengeneza pembe tatu , alafu mawingback wanatanua uwanja zaidi kufungua njia za kupokea mipira , ilikuwa rahisi kwao kutokaka na Qatar wakati wanaenda kupress walikuwa na wachezaji wawili eneo la mbele ngumu kutokana Ecuador wanawa out numbers Qatar ilikuwa 2 vs 4 .... Back 3 + DM rahisi kwa Ecuador kusogea juu. . Ecuador wakati wanaenda kushambulia walipata nafasi kubwa kwenye nusu ya mpinzani , kutokana na Qatar kutoweka presha kwenye mpira na kwa mpinzani , kitu ambacho kiliwafanya Ecuador wapate space kubwa pembeni mwa uwanja na

MBARONI KWA KUMUUA DEREVA TAKSI NA MWANAFUNZI

Picha
   0    0 Ramadhani Ng’anzi, Kamanda wa   Polisi Mkoa wa Mwanza Jeshi la Polisi jijini  Mwanza linawashikilia watu tisa kwa tuhuma za mauaji ya mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino (SAUT), Nicholus Telesphory (25) na dereva taksi, Respikius Anastaz (55). Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Ramadhani Ng’anzi amesema watu hao walikamatwa maeneo tofauti mkoani humo. Ng’anzi amesema Januari 29, 2022 katika mtaa wa Ng’washi kata ya Buhongwa wilayani Nyamagana mwanafunzi wa SAUT aliyekuwa akisoma shahada ya kwanza ya Uhusiano wa Umma na Masoko, Nicolaus Telesphory aliuawa kwa kushambuliwa na kundi la watu wakimtuhumu kuiba televisheni. Amesema kwa sasa wanaoshikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya mwanafunzi huyo ni watu watano “Marehemu alifariki akiwa katika hospitali ya rufaa ya Kanda ya Bugando alipokuwa akipatiwa matibabu baada ya kushambuliwa kwa kutumia mawe na fimbo kwenye maeneo mbalimbali ya mwili wake,” amesema Ng’anzi Katika tukio lingine Kamanda Ng’anzi amesema Jeshi hilo lina

JIFUNZE NAMNA YA KUPIKA TAMBI

Picha
  2022 Aina Za Tambi Tambi ni nini Aina za tambi Jinsi ya kupika tambi kwa usahihi Ni bidhaa gani ni tambi pamoja na Jinsi ya kuchagua tambi sahihi Aina Za Tambi Video: Aina Za Tambi Video: Jinsi ya kupika tambi za sukari aina 2 | Za shira na za kukaanga 2022, Februari Pasta ni moja ya bidhaa kongwe za chakula ambazo watu waliunda na mikono yao wenyewe. Vipande vya unga kavu vilitumiwa kwanza kupika chakula mapema karne ya 1 KK. Leo soko hutoa idadi kubwa ya aina ya tambi. Aina za tambi Haiwezekani kuorodhesha kila aina ya tambi. Katika Roma kuna hata makumbusho ya bidhaa hii ya chakula, ambapo katika vyumba 11 hadithi inaambiwa, siri za kutengeneza tambi (tambi). Kuna jumba la kumbukumbu huko Japani, sio kwa kiwango kikubwa kama ile ya Italia, lakini sio chini ya kuelimisha. Itakuwa muhimu kwa mama yeyote wa nyumbani kuwatembelea ili kujifunza historia ya tambi, kufahamiana na aina zao kuu na nuances ya kupikia. Tambi ni nini Viungo kuu vya bidhaa hii ni unga wa ngano na maji. Kuna id

QUARTER FINAL AFCON 2021

Picha
  #CAN2021   🇧🇫 Burkina Faso - Gabon 🇬🇦  🇸🇳 Sénégal - Cap Vert 🇨🇻 🇲🇦 Maroc - Malawi 🇲🇼  🇨🇮 Côte d’Ivoire - Égypte 🇪🇬  🇨🇲 Cameroun - Comores 🇰🇲  🇬🇳 Guinée - Gambie 🇬🇲  🇳🇬 Nigéria - Tunisie 🇹🇳  🇲🇱 Mali - Guinée Équatoriale 🇬🇶

AFCON

 Matokeo ya michezo ya mapema leo hii  Ivory coast 3 - 1 Algeria  Kessie 22'.               Bendebka 73' Sangare 39' Pepe  54'            

AFCON

Picha
Baada ya juzi timu ya taifa ya Ghana kuaga mashindano ya AFCON 2021 , leo timu ya taifa ya Algeria imeweza pia kuaga mashindano baada ya kufungwa magoli matatu kwa moja dhidi ya Ivory coast  

ZAMBIA 🇿🇲

Picha
 The President of Zambia, Hakainde Hichilema has decided to pay off all arrears for the year 2020/21 that the Government was owed by the Farmers. These debts existed even before he became president, but he has decided to pay them off.